Thursday 5 April 2007

Karibuni kwenye Mlinganyo wa Bongo

Najua karibia wabongo wote mlio nje na ndani ya bongo mnayo nia ya kujikomboa kutoka kwenye umasikini wa kujitakia tulionao na tunaondelea kuwa nao. Wengi wenu mmekwenda shule ya kutosha ya kuweza kufanya mabadiliko na kuondoa uozo uliopo katika nchi iliyo jaaliwa utajiri wa kila aina. Kikwazo ni wachache walioko madarakani wenye uchu wakutumikia matumbo yao zaidi kuliko Uchungu wa nchi yao. sasa huuu ni mlinganyo wa kwa kuweka hadharani mabovu yao ili waone aibu, tuwaaibishe wayaone wanayofanya..... leta picha yako yenye kuonyesha ubovu uliopo na utoe jawabu la ubovu huoo kama unaweza .....weka hapa

No comments: